Home NEWS Mkombozi afunguka kuhusu kurejea inchini Burundi

Mkombozi afunguka kuhusu kurejea inchini Burundi

285
0

Msanii Mkombozi akiwa nasiku nyingi ayupo Burundi sasa ame amuwa kufahamisha safariyake yakurudi inchini Burundi ndani ya wiki hii, hayo aliyafahamisha kwenye mahojiyano aliyo yafanyana mtangazaji wakenye kituwo chahabari Radio isanganiro ndani ya kipindi.

Mkombozi alifahamisha kuwa anajianda kuja kusherekea sikuku yake yakuzali hapo tarehe 24 julai 2021 na nilazima asherekeye pamoja na mashabiki zake wa Burundi, Mkombozi nikitambo haja onekena ndani ya Mziki wa Buja fleva ambapo wimbo wake wamwisho kuonekana emo nindani ya video ya wimbo SIKO NABISANZE alio shirikishwa na Muimbaji SPOKS MAN nizaida ya myaka miine sasa imetoweka.

 

7920cookie-checkMkombozi afunguka kuhusu kurejea inchini Burundi
Previous articleMechi ya Burundi na Erithria ya simamishwa kwenye mitaa yapili kwasababu ya mvuwa kali sana
Next articleOlegue kwamara yakwanza Mukowani Rumonge Moto utawaka

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here