Msanii Natacha Burundi ayibuka na viedeo kwenye midandayo yakijami akikata jina lake

Msanii Natacha Burundi ayibuka na viedeo kwenye midandayo yakijami akikata jina lake

28 May 2021 0 By KAMIKAZI

Msanii Natacha Burundi ni mmojakati ya wasanii wana tambasana Burundi  kwenye mitandayo yakijami kwakuposti sana kuliko wangine ame ibuka na video yake amboyo ni masaa machachi tu alipo iposti kwenye ukurasawake wa instagram na kuzuwa mjadala baada ya kukataa moja kati yamajina yake LAMAZI kwakudayi kuwa wengi husema kuwa Tanganyika kuja maji mengi naku bomowa nyumba zawatu kuwa nikwasababu ana itwa Lamazi nakusema kuwa kwasasa watu wote wawe wana muita  Laizuba  ambolo sasa nijina lake .

Natacha mekata katu katu wasi muiti Lamazi ni wazikuwa ni majina ana jiita kutokana nahali yahewa kwani wakati mvuwa ni Lamazi sasa niwakati wa masika juwa lingi ni Laizuba.

 

Vdeo instagrm

Facebook Comments Box
3060cookie-checkMsanii Natacha Burundi ayibuka na viedeo kwenye midandayo yakijami akikata jina lake