Home NEWS Baada yakujifungu nakujipa likizo kwenye mitandayo yake Nickii Minaj amerudi tene kazini...

Baada yakujifungu nakujipa likizo kwenye mitandayo yake Nickii Minaj amerudi tene kazini napicha motomoto

238
0

Rapa ambaye yuko kwenye nafasi nzuri muwanawake nakuwa nakipaji chake, sikuzauzoni alijifunguwa mtoto wakiume, Nicki Minaj ame amuwa kurudi umpya kwenye mitandayo yakijami baada yasiku zisizokuwa chache.

Nicki Minaj alijifunguwa tarehe 30 januari 2020 mtota wakiume aliza pamoja na mwana ume Kenneth Petty aliye zanaye watoto waine , Mwanaume wake walifahamiyana Nicki Minaj akiwa na umri wamyaka 16 hataivyo wali achana nabaada yamuda wali rundiana murefu walirundiana na mwana umwe huyo alikuwa na myaka 38.

Picha ya mtoto wakiume wa Nickio Minaj ambaye ana penda kumuita Papabear

Walikuja kukutana na Petty akiwa amesha achana na rapa mahiri  ambaye walitamba sana kwenye mapenzi yawo ambaye ni Meek Mill na Nicki Minaj ndani yamapenzi ayakudumu, mwaka wa 2018 waliachana na Kenneth akajipatia fursa nakundumbukia mumapenzi naku jaza ujauzito. Nick Minaj amerudi kuweka picha zautupu hadharani kamagizi wengi walivyokuwa wanasema.

1440cookie-checkBaada yakujifungu nakujipa likizo kwenye mitandayo yake Nickii Minaj amerudi tene kazini napicha motomoto
Previous articleVIDEO | Big Ft. X-Fecta – FizzoMillion Faces (Kunwa Beer) | DOWNLAOD
Next articleAUDIO | Mr Kay G ft Msafi Classic – Chekecha | DOWNLOAD

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here